Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani John Bolton ajiuzulu

Rais Donald Trump wa Marekani amesema mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani John Bolton amejiuzulu baada ya kumuomba afanye hivyo. 


Amesema kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa yeye na viongozi wengine hawakukubali mapendekezo yake mengi. 

Msemaji wa Ikulu ya Marekani Hogan Gidley aliwaambia wanahabari kuwa Trump na Bolton hawaelewani katika masuala mengi.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani John Bolton ajiuzulu

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×