Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Tanzania kuwasilisha Umoja wa Mataifa taarifa ya Mapitio ya Hiyari ya Utekelezaji wa Malengo Endelevu.

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt.Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akifuatilia ufunguzi wa mikutano ya Jukwaa la Juu la Kisiasa la Ngazi za  Mawaziri  chini ya Umoja wa Mataifa inayofanyika New York nchini Marekani. Kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. John Jingu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk. Leonard Akwilapo.

Waziri Mpango anatarajiwa kuwasilisha kwa mara ya kwanza taarifa ya Tanzania ya  Mapitio ya Hiyari ya Utekelezaji wa Malengo Endelevu.




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Tanzania kuwasilisha Umoja wa Mataifa taarifa ya Mapitio ya Hiyari ya Utekelezaji wa Malengo Endelevu.

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×