Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Update: Wanafunzi Waliofariki Katika Ajali Leo Wafika 32

Kamanda wa Polisi, mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amesema Wanafunzi 31 na walimu wao wamefariki Katika ajali iliyotokea wilayani Karatu, ulipo mto Mlera.

Mkumbo amesema wanafunzi waliopoteza maisha Katika Ajali hiyo ni wa shule ya mchepuo wa Kiingereza, iitwayo Luck Vicent ya mjini Arusha.

Kati ya wale waliofariki 28 walikuwa wanafunzi huku watatu wakiwa ni dereva na walimu wao

Ripoti zinasema kuwa basi hilo liliteleza na kukosa mwelekeo ,likatoka katika barabara na kuanguka katika mto katika eneo la Marera eneo la Rhotia, kilomita chache kabla ya karatu katika barabara ya Arusha


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Update: Wanafunzi Waliofariki Katika Ajali Leo Wafika 32

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×