Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Dkt. Slaa amtumia ujumbe Gwajima kuhusu Dawa za Kulevya

Vita ya kupambana na dawa za kulevya nchini iliyopamba moto zaidi na kuzua mijadala tangu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alipoanza kutaja majina ya watuhumiwa imemuibua Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dkt. Wilbroad Slaa.

Dkt. Slaa ameibuka baada ya kutajwa na kuhojiwa kwa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye alikuwa rafiki yake na ‘muwezeshaji’ wake kabla siasa za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hazijawageuza kuwa mahasimu.

Akizungumza jana kanisani kwake wakati akiwasimulia waumini wake mkasa uliompata tangu alipowasili katika kituo cha kati cha polisi jijini Dar es Salaam hadi alipoachiwa, Askofu Gwajima alisema kuwa alipokea ujumbe wa Dk. Slaa ambaye alimtetea dhidi ya tuhuma hizo.

Ujumbe wenyewe umewekwa kwenye ukurasa wa Facebook wa Askofu Gwajima na unasomeka hivi hapa chini
 


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Dkt. Slaa amtumia ujumbe Gwajima kuhusu Dawa za Kulevya

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×