Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Askofu Gwajima Kaachiwa Huru na Jeshi la Polisi


Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima ameachiwa na Polisi leo jioni baada ya mahojiano yaliyodumu toka Alhamisi mchana kwenye kituo cha Polisi kati Dar es salaam kufuatia sakata la dawa za kulevya.

Baada ya kuachiwa Askofu huyo aliandika yafuatayo kwenye mitandao yake ya kijamii “FREE AT LAST: Mungu awabariki wote mlioomba kwa ajili ya jambo hili, kesho nitakuwepo kwa ajili ya Ibada ya Jumapili, Kanisa la Ufufuo na Uzima Dar es Salaam. Mungu awabariki sana nawapenda nawaombea wote mlioomba kwaajili ya hili”


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Askofu Gwajima Kaachiwa Huru na Jeshi la Polisi

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×