Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Blog Directory  >  Spirituality Blogs  >  Cloud of Witnesses spirituality Blog  > 

2024-04-18 16:06
Kiburi ni hali ya moyo wa mtu kuinuka kutokana na kitu fulani alichonacho, au alichokipata au atakachokipata ambacho kinamtofautisha au kitamtofautisha yey The post MADHARA YA KIBURI KATIKA… Read More
2024-04-16 18:08
Nakusalimu katika jina la mwokozi wetu Yesu Kristo, Karibu tujifunze maneno ya uzima. Katika agano la kale ilikuwa ni sheria, ili sadaka ya upatanisho, au The post NA SISI TUTOKE TUMWENDEE… Read More
2024-04-15 22:11
(Masomo maalumu kwa watumishi wa Mungu). Katika agano la Kale, Mungu aliwafundisha Haruni (aliyekuwa kuhani mkuu) pamoja na wanawe wote, jinsi ya kuwabarik The post Sala ya baraka (Hesabu 6:… Read More
2024-04-12 07:03
Mathayo 5:21  Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu. 22  Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake has The post Kuapiza ni nini? (Mathayo… Read More
2024-04-08 22:39
Swali: Je kuna roho ya kukataliwa katika biblia?.. na kama ipo je mtu anawezaje kufunguliwa kutoka katika hiyo roho? Jibu: “Kukataliwa” kwa lugha nying The post Roho ya kukataliw… Read More
2024-04-08 10:21
Kwa kiyahudi huitwa ‘Tevat’, ni chombo cha majini kilichotumika mahususi kwa ukombozi. Ni mfano wa meli iliyotumika kuokoa watu/wanyama kutoka katika m The post SAFINA NI NINI? a… Read More
2024-04-08 09:50
Unaweza kuuliza je! Mwamini anaweza kufungwa na adui?. Jibu ni ndio anaweza kufungwa. Utauliza tena, kama anafungwa sasa kazi ya Yesu msalabani ilikuwa ni The post KIFUNGO CHA MWAMINI KIPO… Read More
2024-04-06 09:56
Bwana YESU KRISTO alizaliwa katika Nchi/Taifa la ISRAELI, lililopo mashariki ya kati. Na mji aliozaliwa ni Bethlehemu ambao ulikuwa katika urithi wa kabila The post Bwana Yesu alizaliwa kati… Read More
2024-04-03 03:38
Neno sulubu huzaa kusulibisha/kusulubisha, Maana ya Sulubu, ni kuadhibisha kwa kuning’iniza kwenye miti wa msalaba, au nguzo iliyonyooka, kwa kufungwa au The post Nini maana ya sulubu/… Read More
2024-04-01 22:27
(Mfululizo wa masomo yahusuyo Uhuru wa Roho na Utumwa wa sheria). Jina la Bwana YESU, MKUU WA UZIMA libarikiwe. Karibu tujifunze biblia, Neno la MUNGU wetu The post HAJIRI NI KAMA MLIMA SINA… Read More
2024-04-01 20:59
Mwimbaji mmoja wa tenzi za rohoni aliandika hivi “Kama alivyoonyeshwa Yakobo zamani, msalaba umekuwa ngazi ya mbinguni (Tenzi no. 81, ubeti wa 2)”.. ak The post MSALABA NI ZANA Y… Read More
2024-03-29 23:34
Shukrani au kushukuru ni ile hali ya kurudisha hisia chanya kwa mema au mabaya yaliyokufikia. Kwa tafsiri ya kidunia, shukrani inatolewa pale mtu anapopoke The post Shukrani ni nini kibiblia… Read More
2024-03-26 22:45
Swali: “Kigutu” ni mtu wa namna gani kama tunavyosoma katika Marko 9:43? Jibu: Turejee, Marko 9:43  “Na mkono wako ukikukosesha, ukate; ni afadhali The post Kigutu ni… Read More
2024-03-26 19:37
Musa alipomwuliza Mungu kuhusu jina lake, alitarajia kuwa atapewa jina Fulani maalumu kama vile jina la miungu mingine yoyote ijulikanayo mfano wa Baali, a The post MIMI NIKO AMBAYE NIKO app… Read More
2024-03-25 08:04
Je! wakristo tunalaumiwa? JIBU: Ni mashtaka au maneno  Fulani yanayotolewa dhidi yako, yanayolenga kutoridhishwa na mwenendo, au maneno au tabia yako. Tun The post Kulaumu/ Lawama ni ni… Read More
2024-03-21 06:41
Shalom. Sisi kama waamini tunafananishwa na mche, au zao Fulani linalopandwa. Kwamfano ukisoma Zaburi 1:1-3 Inasema.. 1 Heri mtu yule asiyekwenda katika sh The post FAHAMU SEHEMU NNE (4)&nbs&hell…Read More
2024-03-14 14:30
Karibu tunayatafakari maandiko… 2Petro 3:3 “Mkijua kwanza neno hili ya kwamba katika siku za mwisho watakuja na dhihaka zao watu wenye kudhihaki, w The post MAANA HUFUMBA MACHO… Read More
2024-03-14 08:40
Nakusalimu katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo. Karibu tujifunze maneno ya uzima ya mwokozi. Watu waliomwamini Yesu Kristo, yaani waliopokea ondoleo la d The post USIWE MKRISTO WA KUKAA TU… Read More
2024-03-12 23:05
(Masomo maalumu yahusuyo kazi na uchumi). Tunahitaji kujua kanuni chache ili tuweze kufungua milango yetu ya kiuchumi. Leo tutaangalia kanuni nyingine amba The post TENDA JAMBO LA ZIADA. app… Read More
2024-03-10 18:18
Ni muungamaniko wa maneno makuu mawili. (Yaani Christian na Islamic). Likachukuliwa Neno la kwanza Chris katika Christian, likaunganishwa na Neno la katika The post Chrislam ni nini? appeare… Read More
2024-03-06 21:06
1Wafalme 4:32 Naye akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.  33 Akanena habari za miti tangu mwerezi ulioko Lebanoni hata HISO The post  UNAUELEWA, HISO… Read More
2024-03-05 20:23
Swali: roho za Malipizi ni nini na mtu anawezaje kuzifunga? Jibu: roho ya Malipizi au roho za malipizi ni roho zinazojilipiza kisasi baada ya kushindwa vit The post Roho ya Malipizi/ roho za… Read More
2024-03-03 16:35
Kama mwamini hizi si nyakati za kuishi kilegevu, unapoona, watu wanakufa katika dhambi na kwenda jehanamu bila kumjua Kristo, unajisikiaje, unapoona kazi z The post NI LAZIMA NIWE MBWEHA WA… Read More
2024-03-02 01:15
Swali: Kwanini tutoe sadaka? Na Je ni lazima kutoa sadaka?..Na mtu asipotoa sadaka ni dhambi? Jibu: “Utoaji” (uwe wa sadaka au wa kitu kingine chochote The post Kwanini tunatoa s… Read More
2024-02-27 21:42
Swali: Kwanini Mungu ametuumba? Na Sababu ya sisi kuwepo ni ipi?.. Na kwanini mmoja aumbwe hivi mwingine vile? kwa ujumla kwanini Mungu aliiumba dunia? Jib The post Kwanini Mungu alituumba?… Read More
2024-02-27 20:36
Kawaida MUNGU huwa anajibu maombi, isipokuwa Majira yake mara nyingi ni tofauti na Majira yetu.. Sisi uwa tunapenda tujibiwe maombi muda ule ule tunapoomba The post KWANINI MUNGU HAJIBU MAOM… Read More
2024-02-26 23:59
Kanuni ya kufunga na kuomba inafananishwa na kanuni ya Kuku kuyaatamia mayai yake mpaka kufikia hatua ya kutotoa vifaranga. Ili mayai yaweze kuanguliwa na The post Kwanini tunafunga na kuom… Read More
2024-02-23 14:16
Mahali pekee ambapo maandiko yanaeleza kuchoka kwa Yesu, ni siku ile alipokuwa anatoka Uyahudi anakwenda Galilaya. Kwasababu safari yake ilikuwa ndefu, ya The post YESU KATIKA KUCHOKA KWAKE… Read More
2024-02-23 06:23
Tunaposikia kuhusu uweza wa Mungu wa kufanya mambo “nje ya wakati” moja kwa moja tunafikiria, juu wa wakati ambao umepitiliza muda wake. Lakini hatufik The post UWEZA WA MUNGU NJ… Read More
2024-02-22 19:30
Dhamiri au Dhamira ni nini kibiblia? “Dhamiri” au kwa lugha nyingine “Dhamira” ni hisia ya ndani ya mtu (ya asili) inayompa kupambanua lililo jema The post Dhamiri n… Read More
2024-02-19 22:13
> Kuna vitabu vingapi katika Agano Jipya na Agano la Kale?, > Kuna sura/milango mingapi katika kila mgawanyo? > Na watu gani waliotajwa sana katik The post UJAZO WA BIBLIA KATIKA MG… Read More
2024-02-19 19:58
Ifutayo ni mistari kadhaa ya biblia ihusuyo shukrani/ kushukuru. Zaburi 9:1 “Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya a The post Mistari ya biblia kuh… Read More
2024-02-19 09:49
Maandiko ya faraja kwa wafiwa/ Neno la kufariji wafiwa (waliopatwa na msiba). Ikiwa Mtu kafariki katika Kristo, basi lipo tumaini la kumwona tena..lakini k The post NENO LA FARAJA KWA WAFIWA… Read More
2024-02-19 08:44
(Masomo maamulu kwa watumishi wa Mungu). Je wewe ni mtumishi wa MUNGU?..Basi fuatilia mfululizo wa masomo haya katika tovuti yetu hii (www.wingulamashahidi The post WEKA ANWANI HII KATIKA MA… Read More
2024-02-19 08:10
Swali: Toba maana yake nini?.. na je ina umuhimu gani kwetu? Jibu: Neno “Toba” liinatokana na neno “kutubu”. Mtu anayetubu maana yake kafanya “TO The post Toba… Read More
2024-02-19 07:18
Swali: Je wakristo tunaruhusiwa kukopa benki au kutoka kwa watu?..kama ni ndio, kwanini maandiko yaseme mtakopesha wala hamtakopa? (Kumbukumbu 15:6). Jibu: The post Je watu waliookoka wanaru… Read More
2024-02-18 16:31
Tunapokisoma kisa cha Daudi, cha kumwiba mke wa shujaa wake (Uria), na kumlazimisha kuzini naye kwa siri, na baadaye kumuua mumewe , (2Samweli 11) tunaishi The post JE! UNAWEZA KUWA NA GEUKO… Read More
2024-02-16 10:45
Rehani ni nini kibiblia?, na je sisi wakristo tunaruhusiwa kuweka kitu rehani? Rehani ni mali iliyowekwa kama dhamana kwa mkopo uliochukuliwa, maana yake m The post Rehani ni nini katika bib… Read More
2024-02-16 10:04
Rahabu ni nani? Jina “Rahabu” limeonekana mara kadhaa katika biblia likiwa na maana Zaidi ya moja. Maana ya kwanza ni linamwakilisha Mwanamke w The post Rahabu kwenye biblia. app… Read More
2024-02-15 01:54
Machukizo au Chukizo ni nini? kama tunavyosoma katika biblia? Machukizo linatokana na neno “chukizo” na chukizo ni kitu kinachosababisha chuki/hasira. The post Machukizo ni nini… Read More
2024-02-15 01:16
Swali: Huyu Kemoshi alikuwa nani, na nini tunajifunza kutoka kwake? Jibu: Turejee, Yeremia 48:46 “Ole wako! Ee Moabu, Watu wa Kemoshi wamepotea; Maana wa The post Kemoshi ni nani? (Yer… Read More
2024-02-15 00:44
Antiokia ipo nchi gani kwa sasa? Na nini tunaweza kujifunza kupitia mji huo? Jibu: Antiokia ni mji uliopo kusini mwa Taifa la UTURUKI na Kaskazini mwa Taif The post Antiokia ni wapi kwasasa?… Read More
2024-02-14 00:27
AGANO LA KALE Vitabu vya Agano la Kale vimegawanyika katika makundi makuu manne (4)       1. VITABU VYA SHERIA. (Tazama jedwali chini).      2. VITAB The post M… Read More
2024-02-13 22:00
Swali: Je biblia inajichanganya katika Zaburi 8:4-5 na Waebrania 2:6-7. Maana sehemu moja inataja ‘Mungu’, na sehemu nyingine ‘Malaika’. Jibu: Ture The post Je ni Mun… Read More
2024-02-12 23:14
Mbaruti ni nini?.(Mibaruti ni mimea ya aina gani) na umebeba ujumbe gani kiroho?. Jibu: Turejee, Mathayo 7:16 “Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huch The post Mbaruti ni mmea gani?… Read More
2024-02-12 22:10
Mungu amejifunua katika Ofisi kuu 3, (Baba, Mwana na Roho Mtakatifu). Lakini katika dhihirisho zote hizi tatu (3) Mungu anabaki kuwa mmoja na si watatu. Sa The post MADHIHIRISHO MATATU YA MU… Read More
2024-02-08 22:25
Manabii Wanaume katika biblia walikuwa wengi kiidadi kuliko manabii wanawake. UFUATAO NI UFUPISHO KWA NJIA YA JEDWALI: Kutazama Jadwali zima, basi Slide ku The post MANABII WA BIBLIA (Wanaum… Read More
2024-02-08 20:17
Orodha ya Manabii wa kike katika biblia. Jumla ya Manabii wa kike (wanawake) waliotajwa katika biblia ni 11, Kati ya hao manabii Tisa (9) walikuwa wa KWELI The post MAJINA YA MANABII WANAWAK… Read More
2024-02-08 00:19
Mitume wa BWANA YESU walikuwa 12, ambapo baadaye walisalia 11 baada ya YUDA ISKARIOTE, aliyemsaliti BWANA kufa kwa kujinyonga!.. Nafasi yake ilichukuliwa n The post MAJINA YA MITUME WA BWANA… Read More
2024-02-07 22:30
Wafalme waliotawala ISRAELI, ukiwatoa wale watatu wa Mwanzo (Yaani Sauli, Daudi na Sulemani) walikuwa ni Wafalme 19 tu, na hakukuwa na Malkia aliyetawala I The post WAFALME WALIOTAWALA ISRAE… Read More

Share the post

Cloud of Witnesses

×

Subscribe to Cloud Of Witnesses

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×