Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Wachezaji wenye walimsaliti Ranieri - Mourinho

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho amewashutumu Wachezaji wa Leicester kwa kuwa na ubinafsi wa kumsaliti aliyekuwa mkufunzi wao Claudio Ranieri. Mkufunzi huyo alivaa kofia yenye nembo za CR akimuunga mkono Claudio Ranieri kabla ya kuwashutumu wachezaji hao ambao wengi wao walisaini kandarasi mpya baada ya kushindi taji la ligi. Muorinho alifutwa kazi katika mandhari kama hayo msimu uliopita kufuatia mgomo wa wachezaji lakini akasema kuwa kisa alichofanyiwa kilikuwa kidogo sana ikilinganisha na vile Ranieri alivyofanyiwa. ''Nadhani msimu huu ulianza na ubinafsi mwingi wachezaji wakitaka kupewa mikataba mipya'' . ''Watu wakifikiria fedha zaidi wengine wakiamua kuondoka bila kujali ni nani aliyewafanya kufikia walivyo'' alisema Mourinho.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Wachezaji wenye walimsaliti Ranieri - Mourinho

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×