zamaradimketemaUkiwa MKWELI na MUWAZI Hakuna Lolote Baya litakalokufika, lazima MUNGU akunusurishe na mabalaa.. Simamia katika ukweli bila kumuonea wala kumtetea yoyote, unapokwazika na kuumizwa ongea, toa kinyongo, hakuna ubaya katika kuonesha maumivu kwa aliekukosea, maana mara nyingine