Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

CHADEMA YATUMA SALAMU ZA POLE NCHINI KENYA KUFUATIA SHAMBULIZI LILILOFANYWA JANA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA)kupitia kwa mkuu wa idara ya habari na mawasiliano Tumaini Makene kimetuma Salamu za Pole Kwa Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta na wananchi kwa ujumla kufuatia shambulio lililotokea jana january 15 na watu 14 kufariki. Taarifa iliyotolewa leo kwa waandishi wa habari imesema,CHADEMA imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za tukio la shambulizi linalohusishwa na ugaidi, lililofanyika kwenye eneo lenye shughuli mbalimbali za kijamii, katika Hoteli ya DusitD2, Nairobi, nchini Kenya, siku ya Jumanne, Januari 15, mwaka huu. “Kipekee CHADEMA inatuma salaam za pole kwa watu wote…

Source



This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

CHADEMA YATUMA SALAMU ZA POLE NCHINI KENYA KUFUATIA SHAMBULIZI LILILOFANYWA JANA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×