Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Picha : RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU WA NIGERIA OLUSEGUN OBASANJO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo Mara Baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.


This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Picha : RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU WA NIGERIA OLUSEGUN OBASANJO

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×