Hili tukio huenda likakushtua kutokana na mazingira ambapo limetokea, sawa tunaenda Hospitali kutibiwa lakini wale wanaotoa huduma wakati mwingine wanakuwa na mambo yao tofauti. Hii story unaambiwa imetokea Uingereza, Andrew Hutchinson ni nesi wa kitengo cha dharura Hospitali ya John Radcliffe Uingereza, amekutwa na hatia ya kuwabaka Wagonjwa watatu walioenda kupatiwa matibabu katika